Psalms 87:5-6


5 aKuhusu Sayuni itasemwa hivi,
“Huyu na yule walizaliwa humo,
naye Aliye Juu Sana mwenyewe
atamwimarisha.”

6 b Bwana ataandika katika orodha ya mataifa:
“Huyu alizaliwa Sayuni.”
Copyright information for SwhKC